Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) katika namna ya kupiga mswaki, pia imezungumzia umuhimu wa kufuata mwenendo wa Mtume (s.a.w), na ameongelea uwajibu wa usafi na ameendelea kutaja nyakati za kupiga mswaki.
Insaiklopidia ya Kielektroniki ya Mada zilizochambuliwa kwa ajili ya kuuelezea Uislamu na kuufundisha kwa Lugha Mbalimbali