×
Maandalizi: Abubakari Shabani Rukonkwa

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 15 (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) katika kumtembelea mgonjwa, na ubora wake pa amezungumzia hali ya waislam katika zama hizi, na kwamba kumtembelea mgonjwa ni ibada ilio hamwa.

Play
معلومات المادة باللغة العربية