Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) juu ya ubora na thawabu anazopata mtu anapoenda msikitini, pia imezunguzia hatari ya mwanaume wa kiislamu kuswalia nyumbani badala ya msikitini.
Insaiklopidia ya Kielektroniki ya Mada zilizochambuliwa kwa ajili ya kuuelezea Uislamu na kuufundisha kwa Lugha Mbalimbali