×
Preparation: Yasini Twaha Hassani

Nasaha za vitendo vya Hijja 1 (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Siku ya Arafa na fadhila zake na kwamba Hijja haikamiliki bila ya kusimama Arafa na ni siku ambayo dua zinajibiwa, pia imezungumzia umuhimu wa kushukuru neema za Allah.

Play
معلومات المادة باللغة العربية