Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa mambo yanayofanywa katika siku za Minah nayo: kurusha mawe na kunyoa nywele nakuchinja, kisha amebainisha wakati anaotakiwa alhaji kuvuwa ihram, na inatakiwa kwa alhaji kukithirisha kumtaja Allah.
ಇಸ್ಲಾಂ ಧರ್ಮವನ್ನು ಪರಿಚಯಿಸಲು ಮತ್ತು ಕಲಿಸಲು ವಿವಿಧ ಭಾಷೆಗಳಲ್ಲಿರುವ ಆಯ್ದ ವಿಷಯಗಳ ವಿಶ್ವಕೋಶ